Eliaquim Mangala wa Manchester City akimtoka Moussa Sissoko wa Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St James' Park usiku wa Jumatatu timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Bao la City lilifungwa na Sergio Aguero kwa kichwa dakika ya 14, kabla ya Vurnon Anita kuiswazishia Newcastle dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool expect Salah return before end of season
-
Liverpool expect Mohamed Salah to return from injury before the end of the
season after he was forced off against Crystal Palace on Saturday.
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment