Eliaquim Mangala wa Manchester City akimtoka Moussa Sissoko wa Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St James' Park usiku wa Jumatatu timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Bao la City lilifungwa na Sergio Aguero kwa kichwa dakika ya 14, kabla ya Vurnon Anita kuiswazishia Newcastle dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sol Campbell claims Arsenal's Invincibles triumph 'would have been
recognised more' if Liverpool or Man United had done it - and blasts
'embarrassing' Premier League chiefs
-
Arsenal legend Sol Campbell wants the Premier League to officially
recognise and honour Gunners players who lifted the title during the club's
Invincibles ...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment