Eliaquim Mangala wa Manchester City akimtoka Moussa Sissoko wa Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St James' Park usiku wa Jumatatu timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Bao la City lilifungwa na Sergio Aguero kwa kichwa dakika ya 14, kabla ya Vurnon Anita kuiswazishia Newcastle dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thune says Senate to consider voting bill but pushes back on demands for
'talking filibuster'
-
WASHINGTON (AP) — Majority Leader John Thune said Tuesday that the Senate
will consider a bill to impose strict new proof-of-citizenship requirements
in el...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment