Eliaquim Mangala wa Manchester City akimtoka Moussa Sissoko wa Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St James' Park usiku wa Jumatatu timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Bao la City lilifungwa na Sergio Aguero kwa kichwa dakika ya 14, kabla ya Vurnon Anita kuiswazishia Newcastle dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
After a trade deadline sell-off and a rousing road sweep, the 2026 Mets
still have plenty to play for
-
The math indicates that this Mets' season is doomed, but even so, New
York's roster is filled with talented players who have something to prove.
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment