Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigerian, Kelechi Iheanacho akimtungua kipa wa Stoke City, Jakob Haugaard aliyetokea benchi kuifungia bao la nne Manchester City katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Etihad. Iheanacho alifunga mawili, mengine mawili akifunga Sergio Aguero moja kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Social media giant Meta ordered to pay $567 million in New Mexico child
safety ruling
-
A New Mexico judge on Thursday ordered Meta to pay more than $500 million,
finding the social media company created a public nuisance and harmed
children. ...
52 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment