Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigerian, Kelechi Iheanacho akimtungua kipa wa Stoke City, Jakob Haugaard aliyetokea benchi kuifungia bao la nne Manchester City katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Etihad. Iheanacho alifunga mawili, mengine mawili akifunga Sergio Aguero moja kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City host Liverpool, Port Vale face Chelsea - full FA Cup draw
-
League One Port Vale's reward for beating Sunderland in the FA Cup is a
quarter-final tie away to Chelsea, while Manchester City will host
Liverpool in a h...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment