Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigerian, Kelechi Iheanacho akimtungua kipa wa Stoke City, Jakob Haugaard aliyetokea benchi kuifungia bao la nne Manchester City katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Etihad. Iheanacho alifunga mawili, mengine mawili akifunga Sergio Aguero moja kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jen Psaki Blasts JD Vance as a ‘Loser, Loser, Loser’ After Poor Attendance
at Turning Point Event and Failure in Hungary | Video
-
Jen Psaki didn't hold back when commenting on JD Vance's recent appearance
at a Turning Point USA event and his failure campaigning for Viktor Orbán
in Hun...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment