Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigerian, Kelechi Iheanacho akimtungua kipa wa Stoke City, Jakob Haugaard aliyetokea benchi kuifungia bao la nne Manchester City katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Etihad. Iheanacho alifunga mawili, mengine mawili akifunga Sergio Aguero moja kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Draft 2024 Big Board: Best Available Players After Day 1
-
Round 1 of the 2024 NFL draft is complete. While the opening night saw many
of the top prospects come off the board, it's important to remember that
the dr...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment