Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigerian, Kelechi Iheanacho akimtungua kipa wa Stoke City, Jakob Haugaard aliyetokea benchi kuifungia bao la nne Manchester City katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Etihad. Iheanacho alifunga mawili, mengine mawili akifunga Sergio Aguero moja kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
☕ Morning Recap: A look at Futaa's top stories from yesterday
-
Liverpool was given a lifeline in the Premier League title race after West
Ham held Man City to a 2-2 draw with Everton getting dragged to the
relegation f...
Dakika 4 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni