Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akienda chini baada ya kupitiwa na beki wa Villarreal, Daniele Bonera katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumatano Uwanja wa Santiago Bernabeu. Real imeshinda 3-0, mabao ya Karim Benzema, Lucas Vazquez na Luka-Modric PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'I might not be here' - Stokes on being hit in face by ball
-
England captain Ben Stokes says he "got out quite lucky" with major facial
surgery after an incident in the nets at Durham.
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment