Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Makamu wa Rais, Rashid Mfaume Kawawa (katikati, sasa marehemu) maarufu kwa jina la Simba wa Vita enzi za uhai wake, akiwa na wanamichezo wa Tanzania waliofanya vizuri kwenye Michezo ya Afrika (AAG) mwaka 1973 mjini Lagos, Nigeria – bondia Habib Kinyogoli ‘Master’ (kulia) aliyetwaa Medali ya Shaba na mwanariadha Filbert Bayi aliyeshinda Medali ya Dhahabu
APC guber primary: NUT national President emerges Kebbi guber candidate
-
From Olanrewaju Lawal, Birnin Kebbi The National President of Nigeria Union
of Teachers(NUT), Dr. Nasir Idris has been elected by delegates as the
Govern...
Dakika 15 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni