Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane (kushoto) akishangilia na Jan Vertonghen baada ya kuifungia mabao mawili timu yake katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Britannia. Mabao mengine ya Spurs yalifungwa na Dele Alli na sasa timu hiyo inafikisha pointi 68 baada ya kucheza mechi 34 na kuendelea kukaa nafasi ya pili nyuma ya Leicester City yenye pointi 73 za mechi 34 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rasmus Hojlund is spotted looking bemused at Erik ten Hag's decision to
substitute Kobbie Mainoo in Man United's draw with Burnley - which sparked
furious reaction from fans
-
Rasmus Hojlund (inset) cut a bemused figure as Manchester United manager
Erik ten Hag decided to bring midfielder Kobbie Mainoo (left) off during
Saturday'...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment