SIMBA YAITUMIA SALAMU AZAM, YAUA 3-0 ZOTE AWADH JUMA
Kiungo wa Simba, Awadh Juma usiku wa jana amefunga mabao yote matatu Uwanja wa Amaan, Zanzibar timu yake ikishinda 3-0 katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Mafunzo. Simba imeweka kambi Zanzibar kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Azam FC Jumamosi, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
GOTD: Johnsen v Nottingham Forest
-
Goal of the Day | United Legends defender Ronny Johnsen was also handy in
attack, as this strike from 1998/99 shows...
Chelsea 1-1 Leicester: The Blues drop more points
-
Chelsea dropped more points at Stamford Bridge following a 1-1 draw with
Leicester City on Thursday evening. James Maddison opened the scoring for
the vis...
Faninfos für das U19-Pokalfinale in Potsdam
-
Am Freitag (20. Mai) spielt die U19 des BVB im DFB-Pokalfinale der Junioren
gegen den Nachwuchs des VfB Stuttgart. Das Spiel wird um 18 Uhr im
Babelsberger...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni