• HABARI MPYA

    Saturday, April 30, 2016

    FARID MUSSA AFANYIWA VIPIMO CLUB TENERIFE

    Winga wa kimataifa wa Tanzania, Farid Mussa Malik akifanyiwa vipimo na klabu ya Deportivo Tenerife ya Uholanzi, baada ya kufanya vizuri katika majaribio yak ya awali ya kuwania kujiunga na timu hiyo ya Ligi Daraja la Kwanza, maarufu kama Segunda. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: FARID MUSSA AFANYIWA VIPIMO CLUB TENERIFE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top