Mchezaji mpya bora chipukizi wa Mwaka wa Ligi Kuu ya England, Dele Alli wa Tottenham Hotspur akipasua katikati ya wachezaji wa West Bromwich Albion katika mchezo wa ligi hiyo usiku wa Jumatatu Uwanja wa White Hart Lane, London. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1, Craig Dawson akianza kujifunga dakika ya 33 yeye mwenyewe kuisawazishia West Brom dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
After a trade deadline sell-off and a rousing road sweep, the 2026 Mets
still have plenty to play for
-
The math indicates that this Mets' season is doomed, but even so, New
York's roster is filled with talented players who have something to prove.
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment