Mchezaji mpya bora chipukizi wa Mwaka wa Ligi Kuu ya England, Dele Alli wa Tottenham Hotspur akipasua katikati ya wachezaji wa West Bromwich Albion katika mchezo wa ligi hiyo usiku wa Jumatatu Uwanja wa White Hart Lane, London. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1, Craig Dawson akianza kujifunga dakika ya 33 yeye mwenyewe kuisawazishia West Brom dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Harry Kane 'is OPEN to signing a new Tottenham contract'
-
With Conte at the helm, Spurs were able to secure Champions League football
for next season and Kane is reportedly increasingly hopeful that he can
finally...
Dakika 12 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni