Mchezaji mpya bora chipukizi wa Mwaka wa Ligi Kuu ya England, Dele Alli wa Tottenham Hotspur akipasua katikati ya wachezaji wa West Bromwich Albion katika mchezo wa ligi hiyo usiku wa Jumatatu Uwanja wa White Hart Lane, London. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1, Craig Dawson akianza kujifunga dakika ya 33 yeye mwenyewe kuisawazishia West Brom dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brisbane Lions stars have 'split up with their partners due to what
happened on end-of-season trip to Las Vegas'
-
The Lions went undefeated at the Gabba for the entire 2023 season but have
already lost two home matches this year, leaving fans scratching their
heads ove...
56 minutes ago
0 comments:
Post a Comment