Mchezaji mpya bora chipukizi wa Mwaka wa Ligi Kuu ya England, Dele Alli wa Tottenham Hotspur akipasua katikati ya wachezaji wa West Bromwich Albion katika mchezo wa ligi hiyo usiku wa Jumatatu Uwanja wa White Hart Lane, London. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1, Craig Dawson akianza kujifunga dakika ya 33 yeye mwenyewe kuisawazishia West Brom dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Scotland beat Ireland to earn first T20 World Cup win
-
Scotland secure their first T20 World Cup win thanks to a 40-run victory
over Ireland in the Old Trafford opener.
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment