Mchezaji mpya bora chipukizi wa Mwaka wa Ligi Kuu ya England, Dele Alli wa Tottenham Hotspur akipasua katikati ya wachezaji wa West Bromwich Albion katika mchezo wa ligi hiyo usiku wa Jumatatu Uwanja wa White Hart Lane, London. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1, Craig Dawson akianza kujifunga dakika ya 33 yeye mwenyewe kuisawazishia West Brom dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Charles Barkley claims Michael Jordan's greatness 'doesn't give him the right to be a jerk'
-
Barkley and Jordan are both 60 now, and came through the ranks together,
facing each other on the court and spending plenty of time together off it
during ...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment