Winga wa Real Madrid, Gareth Bale akienda baada ya kuchezewa rafu na kiungo wa Manchester City, David Silva katika Nusu Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Etihad, Manchester, England usiku huu, timu hizo zikitoka sare ya 0-0 na sasa zitarudiana wiki ijayo Uwanja wa Bernabeu mjini Madrid, Hispani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Social media giant Meta ordered to pay $567 million in New Mexico child
safety ruling
-
A New Mexico judge on Thursday ordered Meta to pay more than $500 million,
finding the social media company created a public nuisance and harmed
children. ...
52 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment