Winga wa Real Madrid, Gareth Bale akienda baada ya kuchezewa rafu na kiungo wa Manchester City, David Silva katika Nusu Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Etihad, Manchester, England usiku huu, timu hizo zikitoka sare ya 0-0 na sasa zitarudiana wiki ijayo Uwanja wa Bernabeu mjini Madrid, Hispani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
REVEALED: Premier League clubs face MORE mayhem next season as fixture
dates for 2024/25 are released... and there are 'no obvious solutions' to
some of the clashes between European and domestic games
-
Top teams face the possibility of three clashes between midweek European
games and Carabao Cup assignments.
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment