Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo (kushoto) akiwa na Mreno mwenzake wa timu hiyo, Pepe wakati wakisafiri kwenda Manchester, England kwa ajili ya mchezo wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kesho Uwanja wa Etihad. Kulikuwa kuna wasiwasi wa Ronaldo kuukosa mchezo huo kutokana na kukosekana katika mchezo wa La Liga Jumamosi, Real Madrid ikishinda 3-2 ugenini dhidi ya Rayo Vallecano kwa sababu alikuwa majeruhi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Field Yates Says Chiefs Picking Xavier Worthy Was Best Trade of 2024 NFL
Draft
-
The Kansas City Chiefs didn't move up the board too much to take Texas wide
receiver Xavier Worthy in the 2024 NFL draft, but it was the most savvy
deal so…
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment