Kiungo wa kimataifa wa Brazil, Roberto Firmino wa Liverpool akimiliki mpira mbele ya beki wa Newcastle, Paul Dummett katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Anfield, timu hizo zikitoka sare ya 2-1. Liverpool ilitangulia kwa mabao ya Daniel Sturridge na Adam Lallana, kabla ya Newcastle kusawazisha kupitia kwa Papiss Cisse na Jack Colback PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Two Girona stars rushed to hospital after nasty training ground accident
with coach Michel admitting 'it looks bad'
-
Brazil international Yan Couto, 21, and Spanish centre-back Juanpe, 32,
both suffered injuries with coach Michel saying their situation 'looks bad'.
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment