Kiungo wa kimataifa wa Brazil, Roberto Firmino wa Liverpool akimiliki mpira mbele ya beki wa Newcastle, Paul Dummett katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Anfield, timu hizo zikitoka sare ya 2-1. Liverpool ilitangulia kwa mabao ya Daniel Sturridge na Adam Lallana, kabla ya Newcastle kusawazisha kupitia kwa Papiss Cisse na Jack Colback PICHA ZAIDI GONGA HAPA
C’River 2027: BBNaija star, Phyna, bloggers stage one-million march for
Otu/Odey
-
Big Brother Naija Season 7 winner, Josephina Otabor, popularly known as
Phyna, and members of the National Association of Bloggers have mobilised
support...
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment