Kiungo wa kimataifa wa Brazil, Roberto Firmino wa Liverpool akimiliki mpira mbele ya beki wa Newcastle, Paul Dummett katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Anfield, timu hizo zikitoka sare ya 2-1. Liverpool ilitangulia kwa mabao ya Daniel Sturridge na Adam Lallana, kabla ya Newcastle kusawazisha kupitia kwa Papiss Cisse na Jack Colback PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Andrew Symonds' sister opens up about her family's heartbreak, Townsville, Queensland
-
Andrew Symonds' sister Louise struggled to hold back the tears as she spoke
with Daily Mail Australia about her brother's shock death near Townsville,
Quee...
Dakika 44 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni