Nick Powell wa Manchester United akiwatoka wachezaji wa Liverpool katika mechi ya U-21 jana Uwanja wa Old Traffoed. Man United imeshinda 3-2 mabao yake yakifungwa na Marouane Fellaini, Andreas Pereira na Sergio Romero, wakati ya Liverpool yamefungwa na Jose Enrique na Jordan Rossiter PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why Andy Cole became a Premier League Hall of Famer
-
In the week that Andy Cole entered the Premier League Hall of Fame, BBC
Sport looks back at some of the best moments from his career.
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment