• HABARI MPYA

    Sunday, December 27, 2015

    CHAMBUA, STEVEN MUSSA 'MAMIDO' HATARI WALIOTIKISA TUKUYU STARS

    Viungo watanashati wa Tukuyu Stars ya Mbeya, Sekilojo Chambua na Steven Mussa (sasa marehemu) wakipata chakula nyumbani kwa mfadhili wao, baada ya mechi dhidi ya Simba SC 1991, ambao Tukuyu walishinda 1-0. Wawili hao wote walihamia Yanga SC baadaye.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHAMBUA, STEVEN MUSSA 'MAMIDO' HATARI WALIOTIKISA TUKUYU STARS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top