Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akipongezwa na wachezaji wenzake usiku huu baada ya kufunga akiichezea mechi ya 500 timu hiyo katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Real Betis kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Nou Camp. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Luis Suarez mawili na Heiko Westermann aliyeuwahi mpira uliogonga mwamba na kurudi uwanjani baada ya mkwaju wa penalti wa Neymar, ambaye pia alifunga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Legendary Packers executive who helped return storied NFL team back to its
glory days dies at 89
-
Bob Harlan, a Green Bay Packers executive who helped return the team to its
1960s glory days, has passed away at 89. He had recently been hospitalized
with...
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment