Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akipongezwa na wachezaji wenzake usiku huu baada ya kufunga akiichezea mechi ya 500 timu hiyo katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Real Betis kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Nou Camp. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Luis Suarez mawili na Heiko Westermann aliyeuwahi mpira uliogonga mwamba na kurudi uwanjani baada ya mkwaju wa penalti wa Neymar, ambaye pia alifunga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Man United goalkeeper David de Gea posts training video from
non-league ground... as the free agent vows to 'come back stronger' after
spending almost a year away from football
-
Former Manchester United goalkeeper David de Gea has posted a video of
himself in training to give another clear indication that he is ready to
return to f...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment