Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akipongezwa na wachezaji wenzake usiku huu baada ya kufunga akiichezea mechi ya 500 timu hiyo katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Real Betis kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Nou Camp. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Luis Suarez mawili na Heiko Westermann aliyeuwahi mpira uliogonga mwamba na kurudi uwanjani baada ya mkwaju wa penalti wa Neymar, ambaye pia alifunga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Everton learn date of hearing for second breach of Premier League spending
rules as commission faces race against time to meet deadline... with the
Toffees resigned to ANOTHER points deduction
-
EXCLUSIVE BY MATT HUGHES: The Premier League have committed to announcing a
verdict on Everton's second charge of breaking Profit and Sustainability
Rules ...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment