• HABARI MPYA

    Tuesday, December 22, 2015

    KIKOSI CHA SIMBA SC 'KILICHONYOROSHWA' NA VIJANA WA MATOLA GEITA JANA

    Kikosi cha Simba SC kilichofungwa 3-1 na Geita Gold Mine inayofundishwa na kocha Suleiman Matola, katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa shule ya Wajja Spring, Geita. Kutoka kulia kocha Dylan Kerr, Awadh Juma, Joseph Kimwaga, Paul Kiongera, Brian Majwega, Said Issa, Hajji Ugando, Daniel Lyanga, Novat Lufunga, Emery Nimubona na Mohammed Fakhi. Aliyechuchumaa mbele ni kipa Peter Manyika 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIKOSI CHA SIMBA SC 'KILICHONYOROSHWA' NA VIJANA WA MATOLA GEITA JANA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top