Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando (kushoto) akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) wakati wa kuendesha droo ya pili ya promosheni ya Airtel Mkawnjika, ambayo washindi 28 kutoka katika mikoa mbalimbali walipatikana. Wanaoshuhudia ni Msimamizi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Nchini, Mrisho Milao (katikati) na Ofisa Masoko wa Airtel, Rebecca Mauma (kulia)
Chelsea part company with their head groundsman after his 30-year tenure at the club
-
Chelsea have parted company with long-serving head groundsman Jason Griffin
plus his assistant and son Reisse. Griffin has been at Stamford Bridge for
over...
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment