• HABARI MPYA

    Tuesday, December 22, 2015

    YANGA SC KATIKA MAZOEZI LEO UWANJA WA BOKO

    Beki wa Yanga SC, Mbuyu Twite akiwania mpira dhidi ya mshambuliaji, Issoufou Boubacar Garba katika mazoezi ya timu hiyo leo asubuhi Uwanja wa Boko Veterani, Dar es Salaam
    Kiungo Said Juma 'Makapu' akijaribu kumfunga kipa Benedicto Tinocco mazoezini leo
    Simon Msuva (kushoto) akiongoza mazoezi ya kukimbia
    Mshambuliaji Paul Nonga mwenye jezi za kijani akinywa maji wakati wa mapumziko mafupi kabla ya kuendelea na mazoezi
    Kocha wa Yanga SC, Mholanzi Hans van der Pluijm akitoa maelekezo kwa wachezaji wake
    Kutoka kulia Salum Telela, Juma Abdul na Oscar Joshua wakizungumza huku wakiendelea na mazoezi

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC KATIKA MAZOEZI LEO UWANJA WA BOKO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top