Mshambuliaji Jamie Vardy (kulia) akishangilia na Riyad Mahrez (kushoto) baada ya wote kuifungia Leicester City katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Chelsea mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa King Power. Bao la Chelsea lilifungwa na Loic Remy na sasa Leicester City inarejea kileleni mwa Ligi Kuu ikifikisha pointi 35 baada ya kucheza mechi 16, Arsenal yenye pointi 33 za mechi 16 pia, inateremka nafasi ya pili, wakati Manchester City ya tatu kwa pointi zake 32 na Man United inabaki nafasi ya nne kwa pointi zake 29, wote wamecheza mechi 16 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Harry Kane puts England ahead from the penalty spot in World Cup opener
after seeing initial spot kick saved - before he was reprieved by VAR
-
Harry Kane was given a reprieve by VAR before he put England ahead from the
penalty spot against Croatia in their opening game of the World Cup.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment