Mbunge wa jimbo Busega, Simiyu, Raphael Chegeni (kushoto) akimkabidhi beki wa kushoto wa Simba SC, Mohamed Hussein 'Tshabalala' (kulia) tuzo ya Mchezaji Bora wa mwezi Oktoba wa klabu hiyo juzi mjini Mwanza baada ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Toto Africans Uwanja wa CCM Kirumba. Tuzo hiyo huambatana na kitita cha Sh. 500,000.
Martin O'Neill, 74, agrees terms on one-year deal to become permanent
manager of Celtic
-
Martin O'Neill will continue as Celtic manager next season after agreeing
terms on a new contract.
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment