• HABARI MPYA

    Monday, December 21, 2015

    MBUNGE AMPA TUZO TSHABALALA WA SIMBA SC

    Mbunge wa jimbo Busega, Simiyu, Raphael Chegeni (kushoto) akimkabidhi beki wa kushoto wa Simba SC, Mohamed Hussein 'Tshabalala' (kulia) tuzo ya Mchezaji Bora wa mwezi Oktoba wa klabu hiyo juzi mjini Mwanza baada ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Toto Africans Uwanja wa CCM Kirumba. Tuzo hiyo huambatana na kitita cha Sh. 500,000.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MBUNGE AMPA TUZO TSHABALALA WA SIMBA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top