• HABARI MPYA

    Monday, December 21, 2015

    16 WAJISHINDIA PROMOSHENI YA AIRTEL MKWANJUKA

    Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando (katikati) akizungumza na Waandishi wa Habari wakati wa kuendesha droo ya kwanza ya promosheni ya Airtel Mkawnjika, ambayo washindi 16 kutoka katika mikoa mbalimbali walipatikana. Wengine ni Msimamizi wa bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania, Abdallah Hemed (kushoto) na Meneja Masoko wa Airtel, Anneth Muga (kulia)
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: 16 WAJISHINDIA PROMOSHENI YA AIRTEL MKWANJUKA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top