Mshambuliaji wa Real Madrid, Gareth Bale (katikati) akiifungia timu yake katika mchezo wa La Liga dhidi ya Rayo Vallecano jioni ya leo. Real imeshinda 10-2, Bale akifunga mabao manne dakika za 25, 41,61 na 70, mengine yakifungwa na Danilo Luiz da Silva dakika ya tatu, Cristiano Ronaldo kwa penalti dakika ya 30, 53 na Karim Benzema matatu dakika za 48, 79 na 90, wakati ya Rayo Vallecano yamefungwa na Antonio Amaya dakika ya 10 na Jozabed Sanchez Ruiz dakika ya 12 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Vikings GM Explains Strategy for J.J. McCarthy's Development After Kirk
Cousins Exit
-
The Minnesota Vikings selected Michigan quarterback J.J. McCarthy with the
No. 10 overall pick in the 2024 NFL draft on Thursday, and despite their
desperate…
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment