Mshambuliaji wa Real Madrid, Gareth Bale (katikati) akiifungia timu yake katika mchezo wa La Liga dhidi ya Rayo Vallecano jioni ya leo. Real imeshinda 10-2, Bale akifunga mabao manne dakika za 25, 41,61 na 70, mengine yakifungwa na Danilo Luiz da Silva dakika ya tatu, Cristiano Ronaldo kwa penalti dakika ya 30, 53 na Karim Benzema matatu dakika za 48, 79 na 90, wakati ya Rayo Vallecano yamefungwa na Antonio Amaya dakika ya 10 na Jozabed Sanchez Ruiz dakika ya 12 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sheffield United striker Billy Sharp is attacked by a pitch invader at Nottingham Forest
-
Steve Cooper's Forest sealed a penalty shoot-out victory to progress into
the final where they will face Huddersfield Town for a place in the Premier
League.
Dakika 13 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni