SUAREZ APIGA HAT TRICK BARCELONA YAUA 3-0 NA KUTINGA FAINALI KOMBE LA DUNIA
Mshambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia timu yake mabao yote matatu katika ushindi wa 3-0 mjini Yokohama, Japan kwenye mchezo wa Nusu Fainali Klabu Bingwa ya Dunia mchana wa leo dhidi ya Guangzhou Evergrande. Suarez alifunga dakika ya 39 akiuwahi mpira uliookolewa baada ya shuti la Ivan Rakitic, dakika ya 50 kwa shuti na dakika ya 67 kwa penalti na sasa Barca itakutana na River Plate ya Argentina katika fainali keshokutwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ALL IN mit Marcel Sabitzer
-
Sechs Torbeteiligungen in den vergangenen drei Partien: Marcel Sabitzer ist
aktuell in bestechender Form. Nun kehrt er mit dem BVB nach Leipzig und
damit a...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment