• HABARI MPYA

    Thursday, December 17, 2015

    YANGA SC NA AFRICAN SPORTS KATIKA PICHA JANA UWANJA WA MKWAKWANI

    Kiungo Mzimbabwe, Thabani Kamusoko (katikati) akipongezwa na wachezaji wenzake wa Yanga SC, Mkongo Mbuyu Twite (kulia) na Godfrey Mwashiuya (kushoto) baada ya kuifungia timu yake bao pekee dakika za lala salama jana katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji African Sports Uwanja wa Mkwakwani, Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
    Kiungo wa Yanga SC, Deus Kaseke akimtoka beki wa African Sports jana
    Mshambuliaji wa Yanga SC, Simon Msuva akipambana na wachezaji wa African Sports
    Beki wa African Sports, Rahim Juma akiwania mpira dhidi ya mshambuliaji wa Yanga SC, Donald Ngoma
    Donald Ngoma wa Yanga SC akimiliki mpira mbele ya Rahim Juma wa African Sports
    Thabani Kamusoko wa Yanga SC akimiliki mpira katikati ya wachezaji wa African Sports
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC NA AFRICAN SPORTS KATIKA PICHA JANA UWANJA WA MKWAKWANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top