• HABARI MPYA

    Sunday, April 19, 2015

    SURA ZINAZOWASILISHA UJUMBE KUELEKEA MECHI YA MARUDIANO YANGA NA ETOILE

    Mashabiki wa Yanga SC wakiwa 'hoi' Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jana baada ya timu yao kusawazishiwa bao katika sare ya 1-1 na Etoile du Sahel ya Tunisia katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho Afrika. Timu hizo zitarudiana wiki mbili zijazo nchini Tunisia na mshindi wa jumla ataingia kwenye kapu la kuwania kucheza hatua ya makundi kwa kucheza na moja ya timu zitakazotolewa katika Ligi ya Mabingwa.  

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SURA ZINAZOWASILISHA UJUMBE KUELEKEA MECHI YA MARUDIANO YANGA NA ETOILE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top