SURA ZINAZOWASILISHA UJUMBE KUELEKEA MECHI YA MARUDIANO YANGA NA ETOILE
Mashabiki wa Yanga SC wakiwa 'hoi' Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jana baada ya timu yao kusawazishiwa bao katika sare ya 1-1 na Etoile du Sahel ya Tunisia katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho Afrika. Timu hizo zitarudiana wiki mbili zijazo nchini Tunisia na mshindi wa jumla ataingia kwenye kapu la kuwania kucheza hatua ya makundi kwa kucheza na moja ya timu zitakazotolewa katika Ligi ya Mabingwa.
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment