WADHAMINI wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, benki ya NBC wametaja zawadi watakayotoa kwa bingwa wa msimu huu, ambayo ni Sh. Milioni 100.
Maana yake bingwa wa Ligi Kuu msimu huu ataondoka na Sh. Milioni 600 jumla pamoja na Sh. Milioni 500 za haki ya matangazo ya Televisheni kutoka Azam Media Limited.
Pamoja na hayo, NBC wameonyesha Kombe jipya la ubingwa wa Ligi Kuu litakaloanza kutolewa msimu huu.
0 comments:
Post a Comment