• HABARI MPYA

    Friday, April 17, 2015

    NIYONZMA APATA MAPACHA KUELEKEA YANGA NA ETOILE KESHO

    Kiungo wa Yanga SC, Haruna Niyonzima akiwa amewashika kwa furaha watoto wake mapacha baada ya mkewe kujifungua mchana wa leo mjini Dar es Salaam. Kiungo huyo wa Rwanda kesho anatarajiwa kuiongoza klabu yake, Yanga SC katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Etoile du Sahel ya Tunisia Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NIYONZMA APATA MAPACHA KUELEKEA YANGA NA ETOILE KESHO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top