• HABARI MPYA

    Wednesday, April 08, 2015

    HATA WAANDISHI WA MPIRA TANZANIA NAO WANGEPENDA KUFANYA KAZI KATIKA MAZINGIRA HAYA, TFF, WIZARA...

    Former Villa striker Stan Collymore couldn't hit his elation in the press box after Benteke knocked in his second of the goal
    Mshambuliaji wa zamani wa Aston Villa, Stan Collymore alishindwa kuzuia hisia zake baada ya Christian Benteke kufunga bao la pili katika sare ya 3-3 na QPR jana Uwanja wa Villa Park. Collymore alikuwa ameketi eneo la Waandishi wa Habari kwenye Uwanja huo, ambao wanaonekana wakiendelea na kazi zao kila mmoja kwa mujibu wa majukumu wake. Waandishi wa Habari wa Tanzania wangependa pia kufanya kazi katika mazingira kama haya, lakini bahati mbaya, si Shirikisho la Soka (TFF), wala Wizara ya Habari iliyoona umuhimu huo tayari. Waandishi wa Tanzania huchanganywa na mashabiki eti waripoti mechi. Ufanisi utatoka wapi hapo? 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HATA WAANDISHI WA MPIRA TANZANIA NAO WANGEPENDA KUFANYA KAZI KATIKA MAZINGIRA HAYA, TFF, WIZARA... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top