// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); LIVERPOOL YAZAWADIWA PENALTI MBILI YATOA SARE 2-2 NA LEICESTER - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE LIVERPOOL YAZAWADIWA PENALTI MBILI YATOA SARE 2-2 NA LEICESTER - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Thursday, January 01, 2015

    LIVERPOOL YAZAWADIWA PENALTI MBILI YATOA SARE 2-2 NA LEICESTER

    LIVERPOOL imepata sare ambayo unaweza kusema wamebebwa. Wekundu hao wametoka 2-2 na Lecester City Uwanja wa Anfield, lakini refa 
    Mike Jones amewapa penalty zmbili za katika katika mchezo huo wa Ligi Kuu ya England, Nahodha Steven Gerrard alifunga mikwaju yote ya penalti ya Wekundu hao dakika ya 17 na 40.
    Lakini David Nugent akaifungia Leicester dakika ya 58 na Jeffrey Schlupp akasawazisha dakika ya 60. 
    Kikosi cha Liverpool kilikuwa; Mignolet, Can, Toure, Sakho, Henderson, Gerrard, Lucas/Markovic dk72, Moreno, Coutinho/Lambert dk85, Lallana/Borini 55, Sterling.
    Leicester City; Hamer, Simpson, Wasilewski, Morgan, De Laet, Schlupp, Drinkwater/Nugent, dk36, James, Hammond/Cambiasso dk66, Mahrez, Vardy/Ulloa dk74.
    The Leicester players surrounded the official after Liverpool were given a penalty in the first half
    Wachezaji wa Leicester City wakimlalamikia refa baada ya kuwapa penalti ya utata Liverpool

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2893371/Liverpool-2-2-Leicester-City-Steven-Gerrard-nets-two-controversial-penalties-Foxes-net-twice-two-minutes-embarrass-Reds.html#ixzz3Nb2Izlls 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YAZAWADIWA PENALTI MBILI YATOA SARE 2-2 NA LEICESTER Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top