// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); AZAM FC NA MTENDE KATIKA PICHA JANA AMAAN - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE AZAM FC NA MTENDE KATIKA PICHA JANA AMAAN - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Wednesday, January 07, 2015

    AZAM FC NA MTENDE KATIKA PICHA JANA AMAAN

    Kiungo wa Azam FC, Frank Domayo (kushoto) akimtoka mchezaji wa Mtende katika mchezo wa Kundi B, Kombe la Mapinduzi jana Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Azam FC ilishinda 1-0.
    Kiungo wa Azam FC, Kevin Friday akimtoka mchezaji wa Mtende
    Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco akiwania mpira dhidi ya beki wa Mtende
    Mshambuliaji wa Azam FC, Didier Kavumbangu akitafuta maarifa ya kumtoka beki wa Mtende
    Beki wa Azam FC, Erasto Nyoni akimtoka beki wa Mtende
    Kiungo wa Azam FC akimuacha chini mchezaji wa Mtende baada ya kumlamba chenga
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC NA MTENDE KATIKA PICHA JANA AMAAN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top