• HABARI MPYA

    Wednesday, August 19, 2015

    RATIBA KAMILI LIGI KUU 2021-2022


    RATIBA ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu wa 2021-2022 imetoka na itatanguliwa na mchezo wa Ngao ya Jamii, baina ya mabingwa watetezi, Simba SC dhidi ya washindi wa pili Ligi Kuu na Kombe la Shirikisho la Soka nchini (TFF), michuano ijulikanayo kama Azam Sports Federation Cup (ASFC), Yanga SC Septemba 25, mwaka huu Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
    Pazia la Ligi Kuu inayorushwa moja kwa moja na Televisheni
    ya Azam, litafunguliwa rasmi Septemba 27, mwaka huu.





    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RATIBA KAMILI LIGI KUU 2021-2022 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top