TAIFA STARS WALIVYOONDOKA LEO DAR KUIFUATA BURUNDI KWA MECHI YA KUFUZU KOMBE LA DUNIA KESHO
Beki Kelvin Yondan akiwaongoza wachezaji wenzake wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kuingia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) mjini Dar es Salaam kwa safari ya Bujumbura nchini Burundi leo asubuhi
Taifa Stars inakwenda Bujumbura kwa ajili ya mchezo wa kwanza wa kuwania kupangwa kwenye makundi ya kuwania tiketi ya Fainali za Kombe la Dunia Qatar 2022
Kipa Juma Kaseja akiingia JNIA kwenda Bujumbura kwa ajili ya mchezo ambao utafanyika kesho
Timu hizo zitarudiana Jumapili Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam na mshindi wa jumla atapangwa katika moja ya makundi 10 kuanza rasmi mbio za Qatar 2022
Kiungo Mohammed Issa 'Banka' akiingia JNIA leo asubuhi tayari kwa safari
Kipa wa Simba SC, Beno Kakolanya akiwaongoza wenzake kuingia JNIA
Hapa ni wakati wakipata mlo wa asubuhi kabla ya safari yao
Mainoo wants Man Utd exit - Saturday's gossip
-
Manchester United open talks with Antoine Semenyo but Kobbie Mainoo keen to
leave Old Trafford, Bournemouth and Crystal Palace in for Brennan Johnson
and t...
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment