Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Manchester City dakika ya 35 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Preston North End jana usiku Uwanja wa Deepdale kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup. Mabao mengine ya Man City yalifungwa na Raheem Sterling dakika ya 19 na Ryan Ledson aliyejifunga dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Reds up for prizes at 2024 Women's Football Awards
-
We're represented on six shortlists ahead of the Women's Football Awards -
but time is running out to have your say.
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment