Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Manchester City dakika ya 35 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Preston North End jana usiku Uwanja wa Deepdale kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup. Mabao mengine ya Man City yalifungwa na Raheem Sterling dakika ya 19 na Ryan Ledson aliyejifunga dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Defensive signings are a MUST after Joe Gomez injury, young star who took
his chance and forgotten man Federico Chiesa gives Andoni Iraola food for
thought: THINGS WE LEARNED as Liverpool beat Sunderland
-
LEWIS STEELE IN NASHVILLE: The Andoni Iraola era got off to a flying start
with a 4-2 thumping of Sunderland.
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment