Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Manchester City dakika ya 35 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Preston North End jana usiku Uwanja wa Deepdale kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup. Mabao mengine ya Man City yalifungwa na Raheem Sterling dakika ya 19 na Ryan Ledson aliyejifunga dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Under-fire Spurs interim boss Igor Tudor makes honest admission about
Champions League tie against Atletico Madrid amid Premier League survival
battle
-
MATT BARLOW IN MADRID: There's a quirk of cruelty about sending Tottenham
back to the Metropolitano for the first time right now, rekindling glories
of the...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment