Nyota wa Valencia, Rodrigo akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao pekee dakika ya 74 ikiwalaza wenyeji, Chelsea 1-0 huku kipa wake Kepa Arrizabalaga akiushuhudia mpira unavyojaa nyavuni Uwanja wa Stamford Bridge mjini London katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Watch: Lille midfielder Ethan Mbappe shown red card for ugly elbow
-
Ethan Mbappé was shown a red card in Lille's Champions League match against
Real Betis on Tuesday.
1 week ago



.png)
0 comments:
Post a Comment