Mtendaji Mkuu wa Azam Media Limited, Dunstan Tido Mhando (wa kushoto), akimkabidhi cheti cha uhitimu mafunzo maalum ya wiki moja ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), mwandishi wa habari Ramadhani Mwelendo jana hoteli ya Serene mjini Dar es Salaam. Wengine kulia ni Rais wa TFF,. Wallace Karia na Katibu wake, Wilfred Kidau.
CEO wa Azam Media, Tido Mhando akimkabidhi cheti, mwandishi wa habari, Charles Abel
CEO wa Azam Media, Tido Mhando akimkabidhi cheti, mwandishi wa habari jana hoteli ya Serene
CEO wa Azam Media, Tido Mhando akimkabidhi cheti, mhitimu wa mafundisho hayo jana
Mtendaji Mkuu wa Azam Media, Tido Mhando akiwa katika picha ya pamoja na wahitimu pamoja na vigogo wa TFF
Cowboys Trolled by NFL Fans for CeeDee Lamb Contract Talks as St. Brown
Resets Market
-
The Detroit Lions made Amon-Ra St. Brown the highest-paid wide receiver in
the NFL with a massive contract extension on Wednesday, and that deal is
likely to…
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment