Marco Reus wa Borussia Dortmund akipiga penalti ambayo iliokolewa na kipa wa Barcelona, Marc-Andre ter Stegen dakika ya 57 baada ya Jadon Sancho kuchezewa rafu na Nelson Semedo kwenye boksi timu hizo zikitoka sare ya 0-0 katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal set to make improved Raphinha bid
-
Arsenal are expected to make an improved bid for Leeds
United forward Raphinha. Arsenal's opening bid for Raphinha was rejected as
it fell below Leeds' val...
Dakika 18 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni