Marco Reus wa Borussia Dortmund akipiga penalti ambayo iliokolewa na kipa wa Barcelona, Marc-Andre ter Stegen dakika ya 57 baada ya Jadon Sancho kuchezewa rafu na Nelson Semedo kwenye boksi timu hizo zikitoka sare ya 0-0 katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dead on arrival: 301 bills gather dust in Aso Rock
-
The scorecard of the 10th National Assembly, recently presented by Speaker
Tajudeen Abbas, lays bare the stark reality of how laws are made and how
they ...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment