Riyad Mahrez (kulia) akishangilia na Ilkay Gundogan baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 24 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Shakhtar Donetsk kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Oblasny SportKomplex Metalist mjini Kharkiv. Mabao mengine ya Man City yalifungwa na Gundogan dakika ya 38 na Gabriel Jesus dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Magnificent' - GB's Whitehouse retains European floor title
-
Watch as Great Britain's Luke Whitehouse retains his floor title at the
Gymnastics European Championships in Rimini, Italy.
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment