Beki wa kikosi cha wachezaji wa akiba cha LA Galaxy, Mtanzania Abdalla Haji Shaibu 'Ninja' akiwa na mshambuliaji wa kikosi cha kwanza cha timu hiyo, Msweden Zlatan Ibrahimovich kwenye gym ya klabu hiyo Dignity Health Sports Park Carson mjini California nchini Marekani kwa mazoezi ya viungo. Ninja yupo LA Galaxy II kwa mkopo kutoka MFK Vyskov ya Czech aliyojiunga nayo akitokea Yanga ya Dar es Salaam
Defensive signings are a MUST after Joe Gomez injury, young star who took
his chance and forgotten man Federico Chiesa gives Andoni Iraola food for
thought: THINGS WE LEARNED as Liverpool beat Sunderland
-
LEWIS STEELE IN NASHVILLE: The Andoni Iraola era got off to a flying start
with a 4-2 thumping of Sunderland.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment