Kiungo Mholanzi, Georginio Wijnaldum akishangilia na mchezaji mwenzake, Mbrazil Roberto Firmino baada ya kuifungia Liverpool bao pekee dakika ya 79 ikiwalaza wenyeji, Sheffield United 1-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Bramall Lane huo ukiwa ushindi wa saba mfululizo tangu msimu uanze PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🏆 Champions League returns: all you need to know about the last 16
-
The UEFA Champions League enters its most exciting phase. After a draw that
resulted in matchups worthy of an early final, the 16 best teams on the
contine...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment