Bondia Muingereza Tyson Fury akivuja damu baada ya kuchapwa ngumi kali na mpinzani wake, Msweden Otto Wallin katika pambano la uzito wa juu Alfajiri ya leo ukumbi wa T-Mobile Arena mjini Las Vegas, Marekani. Hata hivyo, Fury alishinda kwa pointi pambano hilo la raundi 10 na kuendeleza rekodi yake ya kushinda mapambano yake yote 30 ingawa baada ya mchezo huo alikimbizwa hospitali kwa matibabu na kushindwa kuzungumza na Waandishi wa Habari. Fury anatarajiwa kurejea ulingoni Februari 22 kwa pambano la marudiano na Deontay Wilder hapo hapo Vegas PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alexis Sanchez reveals he snubbed 'dad' Pep Guardiola at City after a phone call from Jose Mourinho
-
The Chilean played under the City manager at Barcelona and described the
Spaniard to be like his 'dad', winning a raft of titles at the club before
he join...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment