SIMBA SC WALIVYOJIFUA JANA MWANZA KUJIANDA NA MECHI DHIDI YA BIASHARA UNITED KESHO MUSOMA
Mshambuliaji Mbrazil wa Simba SC, Wilker Da Silva akijifua na wenzake jana Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Biashara United mjini Musoma mkoani Mara
Beki wa Simba SC, Kennedy Wilson akijifua na wenzake jana Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza kujiandaa kuwavaa Biashara United kesho Uwanja wa Karume mjini Musoma
Kiungo Mkenya wa Simba SC, Francis Kahata akijifua na wenzake jana Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza
Beki wa Simba SC, Ramadhani Haruna Shamte akijifua na wenzake jana CCM Kirumba
Wachezaji wa Simba SC, Kennedy Wilson wakiwa mazoezini jana Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza
Wachezaji wa Simba SC wakijifua jana CCM Kirumba tayari kuwavaa Biashara United kesho mjini Musoma
Fire razes Sheikh Dahiru Bauchi’s Qur’anic school
-
From Paul Orude, Bauchi A fire has destroyed the College for Qur’anic
Science and Islamic Studies, founded by renowned Islamic scholar Sheikh
Dahiru Usma...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment