Kiungo Mreno Bernardo Silva akishangilia baada ya kuifungia Manchester City hat-trick kwa mabao yake ya dakika za 15, 48 na 60 katika ushindi wa 8-0 dhidi ya Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na David Silva dakika ya kwanza, Sergio Aguero kwa penalti dakika ya saba, Riyad Mahrez dakika ya 12, Nicolas Otamendi dakika ya 18 na Kelvin De Bruyne dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anthony Joshua fights back tears as he dedicates dramatic victory over
Kristian Prenga to two best friends killed in car crash as he recovers from
TWO knockdowns to win on return
-
CHARLOTTE DALY IN JEDDAH: Joshua, twice dropped by Prenga in the first
round before knocking him out in the second, admitted it had been 'tough'.
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment