• HABARI MPYA

    Saturday, September 21, 2019

    BERNARDO SILVA APIGA HAT TRICK MAN CITY YAICHAPA 8-0 WATFORD

    Kiungo Mreno Bernardo Silva akishangilia baada ya kuifungia Manchester City hat-trick kwa mabao yake ya dakika za 15, 48 na 60 katika ushindi wa 8-0 dhidi ya Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na David Silva dakika ya kwanza, Sergio Aguero kwa penalti dakika ya saba, Riyad Mahrez dakika ya 12, Nicolas Otamendi dakika ya 18 na Kelvin De Bruyne dakika ya 85 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BERNARDO SILVA APIGA HAT TRICK MAN CITY YAICHAPA 8-0 WATFORD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top