Wachezaji wa Manchester United wakipongezana baada ya ushindi wa penalti 5-3 kufuatia sare ya 1-1 dhidi ya Rochdale kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu Kombe la Ligi England usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Manchester United ilitangulia kwa bao la Mason Greenwood dakika ya 68, kabla ya Luke Matheson kuisawazishia Rochdale dakika ya 76. Waliofunga penalti na Man United ni Juan Mata, Andreas Pereira, Fred, Greenwood na Daniel James wakati za Rochdale zilifungwa na Calvin Andrew, Aaron Morley na Aaron Wilbraham huku Jimmy Keohane pekee akikosa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal 'to step up their pursuit of Raphinha' after falling short of Leeds' £65m asking price
-
Raphinha contributed 11 goals and three assists as Leeds narrowly avoided
relegation from the Premier League last season. He has two years left on
his cont...
Dakika 19 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni