Willian akishangilia kishujaa baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 76 kufuatia Jorginho kufunga la kwanza kwa penalti dakika ya 50 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo huo ukiwa ni ushindi wa kwanza kwa kocha Frank Lampard Uwanja wa Stamford Bridge kwenye ligi hiyo PICHA ZADI GONGA HAPA
Arsenal 'to step up their pursuit of Raphinha' after falling short of Leeds' £65m asking price
-
Raphinha contributed 11 goals and three assists as Leeds narrowly avoided
relegation from the Premier League last season. He has two years left on
his cont...
Dakika 25 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni