Roberto Pereyra akishangilia baada ya kuifungia Watford bao la kusawaziwsha dakika ya 81 kwa penalti ikitoa sare ya 2-2 na Arsenal kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo ambao ni wa kwanza baada ya Quique Sanchez Flores kurejea Vicarage Road. Mabao ya Arsenal yamefungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika za 21 na 32 wakati la kwanza la Watford limefungwa na Tom Cleverley dakika ya 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Graham Potter 'is in very serious stages to take over as next Ajax boss
amid their crisis season and could be in Amsterdam tomorrow'... just over a
year since his sacking by Chelsea
-
Graham Potter could be in Amsterdam to finalise a return to management with
Ajax tomorrow, following talks with the Eredivisie club, according to
reports.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment