Muargentina Angel Di Maria (kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Paris Saint-Germain mabao mawili dakika za 14 na 33 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Real Madrid jana kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris, Ufaransa. Bao lingine la PSG lilifungwa na Thomas Meunier dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Awkward moment footy star is spotted making X-rated comment during poignant
Anzac Day ceremony ahead of Collingwood vs Essendon
-
During the Australian national anthem, he was seen turning to fellow Pies
star Steele Sidebottom and appeared to say 'I f***ing s*** myself',
referrinbg to...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment