Muargentina Angel Di Maria (kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Paris Saint-Germain mabao mawili dakika za 14 na 33 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Real Madrid jana kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris, Ufaransa. Bao lingine la PSG lilifungwa na Thomas Meunier dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🏆 Champions League returns: all you need to know about the last 16
-
The UEFA Champions League enters its most exciting phase. After a draw that
resulted in matchups worthy of an early final, the 16 best teams on the
contine...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment