Muargentina Angel Di Maria (kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Paris Saint-Germain mabao mawili dakika za 14 na 33 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Real Madrid jana kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris, Ufaransa. Bao lingine la PSG lilifungwa na Thomas Meunier dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Beloved Horseshoe Lodge destroyed in Aspen Acres Fire
-
The 97,505-acre Aspen Acres Fire has grown to become the seventh-largest
fire in Colorado state history, forcing evacuations in the communities of
Beulah, ...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment