Muargentina Angel Di Maria (kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Paris Saint-Germain mabao mawili dakika za 14 na 33 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Real Madrid jana kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris, Ufaransa. Bao lingine la PSG lilifungwa na Thomas Meunier dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cristiano Ronaldo soaks up the sun in Mallorca amid reports claiming he 'wants to QUIT Old Trafford'
-
The Portuguese legend's partner Georgina Rodriguez shared several photos of
the family on their holiday to the Spanish island with her Instagram
followers ...
Dakika 14 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni