REFA Said Almasi (katikati) akiwa na waamuzi wenzake, Alfred Lwiza (kulia), wote wa Mwanza na Nassor Hamdoun (kushoto) wa Kigoma Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza mwanzoni mwa miaka ya 1990 kabla ya moja ya mechi alizowahi kuchezesha enzi za uhai wake. Almasi alfariki dunia nyumbani kwake Jumanne wiki hii na kuzikwa Nyamanoro mjni Mwanza.
Rwanda, Ghana FDAs collaborate to regulate medicines and vaccines
-
Rwanda Food and Drugs Authority (Rwanda FDA) on June 24, signed a
Memorandum of Understanding (MoU) with Ghana FDA that will allow both
national regulato...
Dakika 43 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni