Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi akipatiwa matibabu ya msuli wa paka baada ya kuumia katika mchezo wa La Liga dhidi ya Villarreal usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou kabla ya kutolewa mapumziko nafasi yake ikichukuliwa na Ousmane Dembele. Barcelona ilishinda 2-1, mabao yake yakichukuliwa na Antoine Griezmann dakika ya sita na Arthur Melo dakika ya 15, wakati la Villarreal lilifungwa na Santi Cazorla dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Usyk's promoter Krassyuk confirms Fury fight is OFF after Warren failed in last-minute talks
-
Oleksandr Usyk's promoter Alex Krassyuk says the undisputed heavyweight
showdown with Tyson Fury on April 29 is OFF after last-minute talks failed
to find ...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment