Son Heung-min akisherehekea baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 10 na 23 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Patrick van Aanholt aliyejifunga dakika ya 21 na Erik Lamela dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ATBU Governing Council appoints Acting Registrar
-
From Paul Orude, Bauchi The Governing Council of Abubakar Tafawa Balewa
University Bauchi has appointed Hajiya Aisha Idris as Acting Registrar of
the Uni...
Dakika 20 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni