Teemu Pukki (kushoto) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Norwich City bao la tatu dakika ya 50 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Carrow Road. Mabao mengine ya Norwich yamefungwa na Kenny McLean dakika ya 18 na Todd Cantwell dakika ya 28 wakati ya Man City yamefungwa na Sergio Aguero dakika ya 45 na Rodri Hernández dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Defensive signings are a MUST after Joe Gomez injury, young star who took
his chance and forgotten man Federico Chiesa gives Andoni Iraola food for
thought: THINGS WE LEARNED as Liverpool beat Sunderland
-
LEWIS STEELE IN NASHVILLE: The Andoni Iraola era got off to a flying start
with a 4-2 thumping of Sunderland.
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment