Cristiano Ronaldo akiwa ameshika kichwa baada ya kupoteza nafasi nzuri ya kuifungia timu yake bao ambalo lingekuwa la ushindi, Juventus ikitoa sare y 2-2 na wenyeji Atletico Madrid kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid. Juventus ilitangulia kwa mabao ya Juan Cuadrado dakika ya 48 Blaise Matuidi dakika ya 68 kabla ya Atletico Madrid kusawazisha kupitia kwa Stefan Savic dakika ya 70 na Hector Herrera dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Defensive signings are a MUST after Joe Gomez injury, young star who took
his chance and forgotten man Federico Chiesa gives Andoni Iraola food for
thought: THINGS WE LEARNED as Liverpool beat Sunderland
-
LEWIS STEELE IN NASHVILLE: The Andoni Iraola era got off to a flying start
with a 4-2 thumping of Sunderland.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment